VIKOMBE VIKUBWA

FA CUP: Arsenal kutoa machungu Jumamosi?

Ijumaa, 17 Februari 2012 09:52
Chapisha Toleo la kuchapisha

FA_CUP_LOGO_NEWRaundi ya 5=RATIBA

Jumamosi Februari 18

[Saa 9 na nusu mchana]

Chelsea v Birmingham

[Saa 12 Jioni]

Millwall v Bolton

Norwich v Leicester

Everton v Blackpool

[Saa 2 na robo usiku]

Sunderland v Arsenal

Jumapili Februari 19

[Saa 9 Mchana]

Crawley v Stoke

[Saa 11 Jioni]

Stevenage v Tottenham

[Saa 1 na Nusu Usiku]

Liverpool v Brighton

TAARIFA:

Baada ya kufumuliwa bao 4-0 huko San Siro siku ya Jumatano na AC Milan kwenye mechi ya UEFA Championz Ligi, Jumamosi Arsenal wanatinga Stadium of Light kucheza mechi ya Raundi ya 5 ya FA Cup na Sunderland ambao Wikiendi iliyopita Arsenal waliwachapa Sunderland bao 2-1 katika mechi ya Ligi kwa bao la ushindi kufungwa dakika za mwisho na Thierry Henry ambae safari hii hatakuwepo baada ya kumaliza Mkataba wake wa mkopo.

Mbali ya mechi ya Sunderland na Arsenal pia kutakuwepo mechi nyingine 7 zitakazochezwa Jumamosi na Jumapili.

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

TANGAZA HAPA

SOKAINBONGO_BANNER1