UWANJANI ULAYA

EUROPA LIGI: Man City yaingia Raundi ijayo

Jumatano, 22 Februari 2012 22:25
Chapisha Toleo la kuchapisha

Wakicheza kwao Uwanja wa Etihad huku wakiwa na ushindi wa bao 2-1 walioupata ugenini huko Ureno Wiki iliyopita, Manchester City leo walijihakikishia kuingia Raundi ya Mtoano ya Timu 16 baada ya kuishindilia FC Porto, ambao walikuwa ndio Mabingwa watetezi wa Kombe hili, kwa bao 4-0.

Bao za Man City zilifungwa na Sergio Aguero, Edin Dzeko, David Silva na David Pizarro.

Katika Raundi ya Mtoano ya Timu 16 Man City wataanza kucheza ugenini na Mshindi kati ya Legia Warszawa ya Poland au Sporting Club ya Ureno ambao wanarudiana Alhamisi huko Ureno na matokeo ya mechi yao ya kwanza yalikuwa ni 2-2.

Katika Raundi hiyo ijayo Man City watamkosa Kiungo wao muhimu Yaya Toure kufuatia kupewa kwake Kadi ya Njano kwenye Dakika ya 65 katika mechi na FC Porto, hii ikiwa Kadi yake ya pili na hivyo kufungiwa mechi moja.

 

UEFA CHAMPIONZ LIGI: CSKA Moscow 1 Real Madrid 1

Jumanne, 21 Februari 2012 21:59
Chapisha Toleo la kuchapisha

RATIBA/MATOKEO:

Jumanne Februari 21

CSKA Moscow 1 Real Madrid 1

[Saa 4 Dak 45 Usiku]

Napoli v Chelsea

TAARIFA:

Wakicheza ugenini huko Luzhniki Stadium iliyobanwa na kibaridi kikali kwenye mechi ya kwanza ya Raundi ya Mtoano, Cristiano Ronaldo alipachika bao Dakika ya 28 na kuwapa Real Madrid bao la kuongoza lakini katika zile Dakika 3 za nyongeza mwishoni mwa Dakika 90, CSKA Moscow walimudu kusawazisha kufuatia kizaazaa golini kwa bao la Pontus Wernbloom kutoka Sweden.

Vikosi:

CSKA Moscow: 1-Sergei Chepchugov; 24-Vasily Berezutsky, 4-Sergei Ignashevich, 6-Alexei Berezutsky, 42-Georgy Shchennikov; 3-Pontus Wernbloom, 22-Yevgeny Aldonin, 21-Zoran Tosic, 10-Alan Dzagoyev; 8-Seydou Doumbia, 18-Ahmed Musa.

Real Madrid: 1-Iker Casillas; 17-Alvaro Arbeloa, 3-Pepe, 4-Sergio Ramos, 15-Fabio Coentrao; 6-Sami Khedira, 14-Xabi Alonso; 10-Mesut Ozil, 21-Jose Callejon, 7-Cristiano Ronaldo; 9-Karim Benzema.

RATIBA:

Jumatano Februari 22

[Saa 4 Dak 45 Usiku]

Basel v Bayern Munich

Marseille v Inter Milan

 

LIGI za ULAYA: Messi apiga bao 4!

Jumatatu, 20 Februari 2012 07:27
Chapisha Toleo la kuchapisha

Lionel Messi alitandika bao 4 mguuni na kuwapa Barcelona ushindi wa bao 5-1 dhidi ya Valencia na kupunguza pengo lao toka nafasi yao ya pili kwa vinara wa La Liga Real Madrid kuwa Pointi 10.

Juzi Real Madrid waliwapiga Racing Santender bao 4-0 na kujishindilia kileleleni huku Nyota wao Ronaldo akiongoza ufungaji katika La Liga akiwa na bao 28 na kufuatiwa na Messi mwenye bao 27.

Anaeshika namba ya 3 kwa ufungaji ni Gonzalo Higuain wa Real Madrid mwenye bao 20.

MISIMAMO & MATOKEO LIGI ZA ULAYA:

LA LIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 23]

1 Real Madrid Mechi 23 Pointi 61

2 Barcelona 51

3 Valencia 40

4 Athletic de Bilbao 33

5 RCD Espanyol 33

6 Atletico de Madrid 32

7 Levante 32

8 Rayo Vallecano 31

9 Malaga 31

10 Osasuna 31

++++++

SERIE A

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 24 isipokuwa inapotajwa]

1 AC Milan 50

2 Juventus Mechi 23 Pointi 49

3 Udinese 42

4 Lazio 42

5 AS Roma 38

6 Napoli 37

7 Inter Milan 36

8 Palermo 34

9 Cagliari 31

10 Chievo 30

++++++

BUNDESLIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 22 isipokuwa inapotajwa]

1 Borussia Dortmund Pointi 49

2 Borussia Monchengladbach 46

3 Bayern Munich 45

4 Schalke 44

5 Werder Bremen 36

6 Bayer Leverkusen 34

7 Hannover 34

8 Wolfsburg 27

9 Stuttgart 26

10 Hoffenheim 26

++++++

RATIBA/MATOKEO:

Ijumaa Februari 17

SERIE A

Forentina 0 Napoli 3

Inter Milan 0 Bologna 3

BUNDESLIGA

Hoffenheim 1 Mainz 1

Jumamosi Februari 18

LA LIGA

Getafe 1 Espanyol 1

Real Madrid 4 Real Racing Santander 0

Sevilla 2 Osasuna 0

SERIE A

Juventus 3 Catania 1

BUNDESLIGA

Kaiserslautern 1 Borussia Monchengladbach 2

Nuremberg 2 Cologne 1

Bayer Leverkusen 4 Augsburg 1

Hamburger 1 Werder Bremen 3

Hertha Berlin 0 Borussia Dortmund 1

Freiburg 0 Bayern Munich 0

Jumapili Februari 19

LA LIGA

Granada 4 Real Sociedad 1

Athletic Bilbao 3 Malaga 0

Real Mallorca 4 Villareal 0

Sporting Gijon 1 Atletico Madrid 1

Levante 3 Rayo Vallecano 5

Barcelona 5 Valencia 1

SERIE A

Lecce 4 Sienna 1

AS Roma 1 Parma 0

Genoa 0 Chievo 1

Cesena 1 AC Milan 3

Novara 0 Atalanta 0

Udinese 0 Cagliari 0

Palermo 5 Lazio 1

BUNDESLIGA

Schalke 4 Wolfsburg 0

Hannover 4 Stuttgart 2

 

LIGI za ULAYA: Real 13 mbele, Dortmund yapaa, Juve iko juu!

Jumapili, 19 Februari 2012 16:41
Chapisha Toleo la kuchapisha

Huko Spain, Cristiano Ronaldo aliifungia Real Madrid bao moja na kuwafanya waifunge Racing Santander bao 4-0 na kutangulia kileleni mwa La Liga wakiwa Pointi 13 mbele ya Mabingwa Watetezi Barcelona ambao leo wanacheza na Valencia ambao wako nafasi ya 3.

Bao hilo la Ronaldo limemfanya azidi kupaa juu kwa Ufungaji Bora na sasa ana magoli 28 kwenye Ligi akiwa mbele ya Lionel Messi kwa bao 5.

Huko Italia, Juventus waliichapa Catania bao 3-1 na kutinga tena kileleni mwa Serie A wakiwa Pointi mbili mbele ya AC Milan.

Bao za Juve zilifungwa na Andrea Pirlo, Giorgio Chiellini na Fabio Quagliarella.

Nako Ujerumani, Mabingwa Borussia Dortmund walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Hertha Berlin kwa bao la Kevin Grosskreutz na kuwafanya waongoze Pointi 3 mbele ya Borussia Moenchengladbach waliowafunga Kaiserslautern bao 2-1.

Vigogo Bayern Munich  wameshika nafasi ya 3 wakiwa Pointi 4 nyuma ya vinara Borussia Dortmund baada ya kutoka sare 0-0 na Freiburg.

Ligi hizo za Ulaya zinaendelea leo.

MISIMAMO & RATIBA LIGI ZA ULAYA:

LA LIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 22]

1 Real Madrid Mechi 23 Pointi 61

2 Barcelona 48

3 Valencia 40

4 RCD Espanyol Mechi 23 Pointi 33

5 Levante 32

6 Atletico de Madrid 31

7 Malaga 31

8 Osasuna Mechi 23 Pointi 31

9 Athletic de Bilbao 30

10 Sevilla Mechi 23 Pointi 29

++++++

SERIE A

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 23 isipokuwa inapotajwa]

1 Juventus Pointi 49

2 AC Milan 47

3 Lazio 42

4 Udinese 41

5 Napoli Mechi 24 Pointi 37

6 Inter Milan Mech 24 Pointi 35

7 AS Roma 35

8 Palermo 31

9 Cagliari 30

10 Genoa 30

++++++

BUNDESLIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 22 isipokuwa inapotajwa]

1 Borussia Dortmund Pointi 49

2 Borussia Monchengladbach 46

3 Bayern Munich 45

4 Schalke Mechi 21 Pointi 41

5 Werder Bremen 36

6 Bayer Leverkusen 34

7 Hannover Mechi 21 Pointi 31

8 Wolfsburg Mechi 21 Pointi 27

9 Stuttgart Mechi 21 Pointi 26

10 Hoffenheim 26

++++++

RATIBA/MATOKEO:

Ijumaa Februari 17

SERIE A

Forentina 0 Napoli 3

Inter Milan 0 Bologna 3

BUNDESLIGA

Hoffenheim 1 Mainz 1

Jumamosi Februari 18

LA LIGA

Getafe 1 Espanyol 1

Real Madrid 4 Real Racing Santander 0

Sevilla 2 Osasuna 0

SERIE A

Juventus 3 Catania 1

BUNDESLIGA

Kaiserslautern 1 Borussia Monchengladbach 2

Nuremberg 2 Cologne 1

Bayer Leverkusen 4 Augsburg 1

Hamburger 1 Werder Bremen 3

Hertha Berlin 0 Borussia Dortmund 1

Freiburg 0 Bayern Munich 0

Jumapili Februari 19

LA LIGA

Granada v Real Sociedad

Athletic Bilbao v Malaga

Real Mallorca v Villareal

Sporting Gijon v Atletico Madrid

Levante v Rayo Vallecano

Barcelona v Valencia

SERIE A

Lecce v Sienna

AS Roma v Parma

Genoa v Chievo

Cesena v AC Milan

Novara v Atalanta

Udinese v Cagliari

Palermo v Lazio

BUNDESLIGA

Schalke v Wolfsburg

Hannover v Stuttgart

 

Napoli yashinda 3-0, Inter yapigwa 3-0-Kibarua kwa Ranieri mashakani!

Jumamosi, 18 Februari 2012 09:09
Chapisha Toleo la kuchapisha

Inter Milan wamepata kipigo kingine cha nyumbani kwenye Serie A baada ya kutandikwa bao 3-0 hapo jana toka kwa Bologna hiki kikiwa kipigo cha pili mfululizo kwao baada ya Wikiendi iliyopita kutunguliwa bao 1-0 pia wakiwa nyumbani na Timu ya mkiani Novara na haya matokeo yamezidisha presha kubwa kwa Meneja Claudio Ranieri huku Mashabiki wakililia Jose Mourinho arudishwe.

Bao za Bologna zilifungwa na Marco Di Vaio, bao mbili, na Acquafresca.

Nao Napoli, wakiwa ugenini, walijipasha kwa ajili ya mechi yao na Chelsea ya UEFA CHAMPIONZ LIGI hapo Jumanne kwa kuibonda Fiorentina bao 3-0 hapo jana.

Mabao ya Napoli yalifungwa na Edinson Cavani, bao mbili, na Ezequeil Lavezzi.

BUNDESLIGA: Hoffenheim 1 Mainz 1

Wakiwa chini ya Kocha mpya, Markus Babbel, Hoffenheim walitoka sare bao 1-1 na Mainz katika mechi pekee ya Bundesliga iliyochezwa jana.

Hoffenheim walitangulia kupata bao baada ya Nikolce Noveski kujifunga mwenyewe katika dakika ya 9 lakini Mchezaji toka Misri Mohamed Zidan alisawazisha kwa Mainz katika dakika ya 29.

MISIMAMO & RATIBA LIGI ZA ULAYA:

LA LIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 22]

1 Real Madrid Pointi 58

2 Barcelona 48

3 Valencia 40

4 Levante 32

5 RCD Espanyol 32

6 Atletico de Madrid 31

7 Malaga 31

8 Osasuna 31

9 Athletic de Bilbao 30

10 Rayo Vallecano 28

++++++

SERIE A

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 23 isipokuwa inapotajwa]

1 AC Milan Pointi 47

2 Juventus Mechi 22 Pointi 46

3 Lazio 42

4 Udinese 41

5 Napoli Mechi 24 Pointi 37

6 Inter Milan Mech 24 Pointi 35

7 AS Roma 35

8 Palermo 31

9 Cagliari 30

10 Genoa 30

++++++

BUNDESLIGA

MSIMAMO=Timu za juu tu:

[Kila Timu imecheza Mechi 21 isipokuwa inapotajwa]

1 Borussia Dortmund Pointi 46

2 Bayern Munich 44

3 Borussia Monchengladbach 43

4 Schalke 41

5 Werder Bremen 33

6 Bayer Leverkusen 31

7 Hannover 31

8 Wolfsburg 27

9 Stuttgart 26

10 Hoffenheim Mechi 22 Pointi 26

++++++

RATIBA/MATOKEO:

Ijumaa Februari 17

SERIE A

Forentina 0 Napoli 3

Inter Milan 0 Bologna 3

BUNDESLIGA

Hoffenheim 1 Mainz 1

Jumamosi Februari 18

LA LIGA

Getafe v Espanyol

Real Madrid v Real Racing Santander

Sevilla v Osasuna

SERIE A

Juventus v Catania

BUNDESLIGA

Kaiserslautern v Borussia Monchengladbach

Nuremberg v Cologne

Bayer Leverkusen v Augsburg

Hamburger v Werder Bremen

Hertha Berlin v Borussia Dortmund

Freiburg v Bayern Munich

Jumapili Februari 19

LA LIGA

Granada v Real Sociedad

Athletic Bilbao v Malaga

Real Mallorca v Villareal

Sporting Gijon v Atletico Madrid

Levante v Rayo Vallecano

Barcelona v Valencia

SERIE A

Lecce v Sienna

AS Roma v Parma

Genoa v Chievo

Cesena v AC Milan

Novara v Atalanta

Udinese v Cagliari

Palermo v Lazio

BUNDESLIGA

Schalke v Wolfsburg

Hannover v Stuttgart

 


Page 1 of 67

Ingia

Jiandikishe / Ingia

MATANGAZO

TANGAZA_BURE2
SOKAINBONGO_BANNER1