SOKA SPESHO

Chelsea hoi, Arsenal yashinda ipo ya 4!

Jumamosi, 11 Februari 2012 20:12
Chapisha Toleo la kuchapisha

THIERRY_HENRYRATIBA/MATOKEO:

Jumamosi Februari 11

Manchester United 2 Liverpool 1

Bolton Wanderers 1 Wigan Athletic 2

Sunderland 1 Arsenal 2

Blackburn Rovers 3 QPR 2

Swansea City 2 Norwich City 3

Everton 2 Chelsea 0

Fulham 2 Stoke City 1

Saa 2 na Nusu Usiku

Tottenham v Newcastle United

+++++++

MSIMAMO:

1 Man United 58

2 Man City Pointi Pointi 57

3 Tottenham 50

4 Arsenal 43

-----------------------------------

5 Chelsea 43

6 Newcastle 42

7 Liverpool 39

+++++++

Taarifa:

Huko Goodison Park, Chelsea walijikuta wakichapwa bao 2-0 na Wenyeji Everton na baada ya Arsenal kuifunga ugenini Sunderland kwa bao 2-1 huku bao lao la pili na la ushindi likifungwa na ‘Mfalme’ Thierry Henry, limewafanya Arsenal waing’oe Chelsea toka nafasi ya 4 na kukamata wao.

Lakini ikiwa Newcastle, wanaocheza baadae leo ugenini huko White Hart Lane dhidi ya Tottenham, watashinda basi Newcastle atashika nafasi ya 4.

Bao za Everton zilizoiua Chelsea zilifungwa na Pienaar na Stracqualursi katika dakika za 5 na 71.

MECHI ZIJAZO:

Jumapili Februari 12

Saa 10 na Nusu Jioni

Wolves v West Bromwich

Saa 1 Usiku

Aston Villa v Man City

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

Adidas Predator 300x250

TANGAZA HAPA

SOKAINBONGO_BANNER1