RATIBA:
[Mechi zote Saa 4 Dak 45 Usiku]
Jumanne, Januari 24
Cardiff v Crystal Palace, (Jumla ya Magoli 0-1)
Jumatano, Januari25
Liverpool v Man City (Jumla ya Magoli 1-0)
TAARIFA:
Leo Usiku Cardiff City wanawakaribisha Crystal Palace huku wakitafuta mbinu ya kufuta kipigo cha bao 1-0 walichokipata toka kwa Crystal Palace Wiki mbili zilizopita katika mechi ya kwanza ya Nusu Fainali ya Carling ambayo mshindi wake atacheza na mshindi wa mechi kati ya Liverpool na Manchester City ambao nao wataudiana Uwanjani Anfield kesho usiku huku Liverpool akiwa mguu mmoja ndani ya Fainali baada ya kuichapa Man City bao 1-0 katika mechi ya kwanza iliyochezwa Uwanja wa Etihad.
Fainali ya Kombe hili itachezwa Uwanja wa Wembley Jijini London hapo Februari 26.

![]() |