RATIBA:
[Matokeo Mechi za kwanza kwenye mabano]
Jumatano Februari 22
[Saa 2 Usiku]
Manchester City v FC Porto [2-1]
TAARIFA:
Leo Uwanjani Etihad, Manchester City wanarudiana na FC Porto katika mechi ya EUROPA LIGI baada ya kuwachapa bao 2-1 huko Ureno Wiki iliyopita.
Mechi nyingine za EUROPA LIGI za marudiano zinachezwa kesho huku manchester United wakiwa kwao Old Trafford kucheza na Ajax Amsterdam ambao Wiki iliyopita waliwatwanga 2-0 huko Amsterdam ArenA.
Alhamisi Februari 23
[Saa 3 Usiku]
[Matokeo Mechi za kwanza kwenye mabano]
Athletic Bilbao v Lokomotiv Moscow [1-2]
PSV Eindhoven v Trabzonspor [2-1]
Standard Liege v Wisla Krakow [1-1]
Club Brugge v Hannover [1-2]
Valencia v Stoke City [1-0]
Twente v Steaua Bucharest [1-0]
Paok Salonika v Udinese [0-0]
Metalist Kharkiv v Red Bull Salzburg [4-0]
[Saa 5 Dak 5 Usiku]
Olympiakos v Rubin Kazan [1-0]
Manchester United v Ajax [2-0]
Atlético Madrid v Lazio [3-1]
Besiktas v Sporting Braga [2-0]
Anderlecht v AZ Alkmaar [0-1]
Sporting Lisbon v Legia Warsaw [2-2]
Schalke v Viktoria Plzen [1-1]
RAUNDI YA MTOANO TIMU 16:
Mechi kuchezwa Machi 8 na marudio Machi 15
[Timu inayotajwa kwanza ipo nyumbani]
FC Salzburg/Metalist Kharkiv v Rubin Kazan v Olympiacos
Legia Warszawa/Sporting Club v FC Porto/Manchester City
Steaua Bucuresti/FC Twente v Viktoria Plzen/Schalke
AZ Alkmaar/Anderlecht v Udinese/PAOK
Stoke City/Valencia v Trabzonspor/PSV Eindhoven
Ajax Amsterdam/Manchester United v Lokomotiv Moscow/Athletic Bilbao
Steaua Bucuresti /FC Twente v Viktoria Plzen/Schalke
Wisla Krakow/Standard Liege v Hannover 96/Brugge