SOKA LA DUNIA

EUROPA LIGI: Leo ni Man City v FC Porto

Jumatano, 22 Februari 2012 14:07
Chapisha Toleo la kuchapisha

EUROPA_LIGI_CUPRATIBA:

[Matokeo Mechi za kwanza kwenye mabano]

Jumatano Februari 22

[Saa 2 Usiku]

Manchester City v FC Porto [2-1]

TAARIFA:

Leo Uwanjani Etihad, Manchester City wanarudiana na FC Porto katika mechi ya EUROPA LIGI baada ya kuwachapa bao 2-1 huko Ureno Wiki iliyopita.

Mechi nyingine za EUROPA LIGI za marudiano zinachezwa kesho huku manchester United wakiwa kwao Old Trafford kucheza na Ajax Amsterdam ambao Wiki iliyopita waliwatwanga 2-0 huko Amsterdam ArenA.

Alhamisi Februari 23

[Saa 3 Usiku]

[Matokeo Mechi za kwanza kwenye mabano]

Athletic Bilbao v Lokomotiv Moscow [1-2]

PSV Eindhoven v Trabzonspor [2-1]

Standard Liege v Wisla Krakow [1-1]

Club Brugge v Hannover [1-2]

Valencia v Stoke City [1-0]

Twente v Steaua Bucharest [1-0]

Paok Salonika v Udinese [0-0]

Metalist Kharkiv v Red Bull Salzburg [4-0]

[Saa 5 Dak 5 Usiku]

Olympiakos v Rubin Kazan [1-0]

Manchester United v Ajax [2-0]

Atlético Madrid v Lazio [3-1]

Besiktas v Sporting Braga [2-0]

Anderlecht v AZ Alkmaar [0-1]

Sporting Lisbon v Legia Warsaw [2-2]

Schalke v Viktoria Plzen [1-1]

RAUNDI YA MTOANO TIMU 16:

Mechi kuchezwa Machi 8 na marudio Machi 15

[Timu inayotajwa kwanza ipo nyumbani]

FC Salzburg/Metalist Kharkiv v Rubin Kazan v Olympiacos

Legia Warszawa/Sporting Club v FC Porto/Manchester City

Steaua Bucuresti/FC Twente v Viktoria Plzen/Schalke

AZ Alkmaar/Anderlecht v Udinese/PAOK

Stoke City/Valencia v Trabzonspor/PSV Eindhoven

Ajax Amsterdam/Manchester United v Lokomotiv Moscow/Athletic Bilbao

Steaua Bucuresti /FC Twente v Viktoria Plzen/Schalke

Wisla Krakow/Standard Liege v Hannover 96/Brugge

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

Adidas Predator 300x250

TANGAZA HAPA