OLIMPIKI 2012
Jumatano, 09 Mei 2012 16:57
MASHINDANO YA SOKA: MAKUNDI: WANAUME: KUNDI A: Great Britain, Senegal, United Arab Emirates, Uruguay KUNDI B: Mexico, South Korea, Gabon, Switzerland KUNDI C: Brazil, Egypt, Belarus, New Zealand KUNDI D: Spain, Japan, Honduras, Morocco WANAWAKE: KUNDI E: Great Britain, New Zealand, Cameroon, Brazil KUNDI F: Japan, Canada, Sweden, South Africa KUNDI G: USA, France, Colombia, Korea DPR TAARIFA: Michezo ya Olimpiki ya Mwaka 2012 itachezwa huko Uingereza na leo imefanyika Droo ya kupanga Makundi na Mechi za Soka kwa Mashindano ya Wanaume na Wanawake. Droo hiyo ilisimamiwa na Mchezaji mashuhuri wa zamani wa England, Gary Lineker, wakati Nguli wa Brazil, Ronaldo, na Mwimbaji mashuhuri, Melanie C, wakiokota majina ya Timu kwenye Makapu. Mashindano ya Olimpiki yataanza hapo Tarehe 25 Julai na kumalizika Agosti 12. VIWANJA VITAVYOCHEZEWA MECHI ZA SOKA: -Hampden Park (Glasgow) -Sports Direct Arena [Kwa sababu za udhamini, Uwanja utaitwa Jina lake la zamani-St James' Park] (Newcastle) -Old Trafford (Manchester), -City of Coventry Stadium -Millennium Stadium (Cardiff) -Wembley (London).
WANAUME: Alhamisi, Julai 26 KUNDI D Spain v Japan, Glasgow (Saa 7 Mchana) Honduras v Morocco, Glasgow (Saa 9 Dak 45 Mchana) KUNDI B Mexico v South Korea, Newcastle (Saa 9 na Nusu Mchana) Gabon v Switzerland, Newcastle (Daa 12 na Robo Jioni) KUNDI A United Arab Emirates v Uruguay, Manchester (Saa 12 Jioni) Britain v Senegal, Manchester (Saa 2 Dak 45 Usiku) KUNDI C Brazil v Egypt, Cardiff (Saa 2 Dak 45 Usiku) Belarus v New Zealand, Coventry (Saa 2 Dak 45 Usiku) Jumapili, Julai 29 KUNDI C Brazil v Belarus, Manchester (Saa 7 Mchana) Egypt v New Zealand, Manchester (Saa 9 Dak 45 Mchana) KUNDI B Mexico v Gabon, Coventry (Saa 9 na Nusu Mchana) South Korea v Switzerland, Coventry (Saa 12 na Robo Jioni) KUNDI A Senegal v Uruguay, Wembley (Saa 12 Jioni) Britain v United Arab Emirates, Wembley (Saa 2 Dak 45 Usiku) KUNDI D Spain v Honduras, Newcastle (Saa 12 Jioni) Japan v Morocco, Newcastle (Saa 2 Dak 45 Usiku) Jumatano Agosti 1 KUNDI C Brazil v New Zealand, Newcastle (Saa 9 na Nusu Mchana) Egypt v Belarus, Glasgow (Saa 9 na Nusu Mchana) KUNDI D Spain v Morocco, Manchester (Saa 12 Jioni) Japan v Honduras, Coventry (Saa 12 Jioni) KUNDI B Mexico v Switzerland, Cardiff (Saa 12 Jioni) South Korea v Gabon, Wembley (Saa 12 Jioni) KUNDI A Senegal v United Arab Emirates, Coventry (Saa 2 Dak 45 Usiku) Britain v Uruguay, Cardiff (Saa 2 Dak 45 Usiku) ROBO FAINALI Jumamosi Agosti 4 Mechi Namba 25: Mshindi D v Wa Pili C, Manchester (Saa 7 Mchana) Mechi Namba 26: Mshindi B v Wa pili A, Wembley (Saa 9 na Nusu Mchana) Mechi Namba 27: Mshindi C v Wa Pili D, Newcastle (Saa 12 Jioni) Mechi Namba 28: Mshindi A v Wa Pili B, Cardiff (Saa 2 na Nusu Usiku) NUSU FAINALI Jumanne Agosti 7 Mshindi 26 v Mshindi 25, Wembley (Saa 12 Jioni) Mshindi 28 v Mshindi 27, Manchester (Saa 2 Dak 45 Usiku) MSHINDI WA TATU Friday, Aug. 10 in Cardiff (Saa 2 Dak 45 Usiku) FAINALI Saturday, Aug. 11 at Wembley (Saa 10 Jioni) WANAWAKE: Jumatano Julai 25 KUNDI E Britain v New Zealand, Cardiff (Saa 11 Jioni) Cameroon v Brazil, Cardiff (Saa 1 Dak 45 Usiku) KUNDI F Japan v Canada, Coventry (Saa 12 Jioni) Sweden v South Africa, Coventry (Saa 2 Dak 45 Usiku) KUNDI G United States v France, Glasgow (Saa 12 Jioni) Colombia v North Korea, Glasgow (Saa 2 Dak 45 Usiku) Jumamosi Julai 28 KUNDI F Japan v Sweden, Coventry (Saa 7 Mchana) Canada v South Africa, Coventry (Saa 9 Dak 45 Mchana) KUNDI E New Zealand v Brazil, Cardiff (Saa 9 na Nusu Mchana) Britain v Cameroon, Cardiff (Saa 12 na Robo Jioni) KUNDI F United States v Colombia, Glasgow (Saa 12 Jioni) France v North Korea, Glasgow (Saa 2 Dak 45 Usiku) Jumanne Julai 31 KUNDI F Canada v Sweden, Manchester (Saa 9 na Nusu Mchana) Japan v South Africa, Cardiff (Saa 9 na Nusu Mchana) KUNDI G United States v North Korea, Manchester (Saa 12 na Robo Jioni) France v Colombia, Newcastle (Saa 12 na Robo Jioni) KUNDI E New Zealand v Cameroon, Coventry (Saa 2 Dak 45 Usiku) Britain v Brazil, Wembley (Saa 2 Dak 45 Usiku) FAHAMU: Timu mbili za juu toka kila Kundi na mbili zitakazoshika nafasi ya 3 bora zitatinga Robo Fainali. ROBO FAINALI Ijumaa Agosti 3 Mechi Namba 19: Mshindi F v Wa Pili G, Glasgow (Saa 7 Mchana) Mechi Namba 20: Nshindi G v Wa Tatu E/F, Newcastle (Saa 9 na Nusu Mchana) Mechi Namba 21: Mshindi E v Wa Pili F, Cardiff (Saa 12 Jioni) Mechi Namba 22: Mshindi E v Wa Tatu F/G, Coventry (Saa 2 na Nusu Usiku) NUSU FAINALI Jumatatu Agosti 6 Mshindi 19 v Mshindi 21, Wembley (Saa 12 Jioni) Mshindi 22 v Mshindi 20, Manchester (Saa 2 Dak 45 Usiku) MSHINDI wa TATU Alhamisi Agosti 9 (Saa 8 Mchana) FAINALI Alhamisi Agosti 9 Wembley (Saa 2 Dak 45 Usiku) Kutoa maoni
EURO 2012-RATIBA & MATOKEO
Jumatano, 04 Januari 2012 18:16
UEFA imetangaza Ratiba ya mechi za Fainali za EURO 2012 ambayo ni Mashindano rasmi ya kutafuta Nchi Bingwa Barani Ulaya yatakayochezwa huko Nchini Poland na Ukraine ambao ni Wenyeji wa pamoja. Mashindano hayo, ambapo Nchi zimepangwa katika Makundi manne ili kutoa Nchi mbili kila Kundi kuingia Robo Fainali, yataanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi hapo Ijumaa Juni 8 huko Mjini Warsaw, Poland kati ya Poland na Greece. Mechi ya Fainali itachezwa huko Kiev, Ukraine hapo Jumapili Julai 1. MAKUNDI KUNDI A Poland, Greece, Russia, Czech Republic KUNDI B Holland, Denmark, Germany, Portuga KUNDI C Spain, Italy, Republic of Ireland, Croatia KUNDI D Ukraine, Sweden, France, England MIJI MECHI ZITAPOCHEZWA: Nchini Poland: -Warsaw -Wroclaw -Gdansk -Poznan Nchini Ukraine: -Kiev -Kharkiv -Lviv -Donetsk RATIBA KAMILI: Ijumaa, Juni 8 [Warsaw, Poland] Saa 2 Usiku Poland v Greece Wroclaw, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Russia v Czech Republic ----------------------- Jumamosi, Juni 9 Kharkiv, Ukraine Saa 2 Usiku Holland v Denmark Lviv, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Germany v Portugal ---------------------- Jumapili, Juni 10 Gdansk, Poland Saa 2 Usiku Spain v Italy Poznan, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Republic of Ireland v Croatia --------------------- Jumatatu, Juni 11 Donetsk, Ukraine [Saa 2 Usiku] France v England Kiev, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Ukraine v Sweden ---------------------- Jumanne, Juni 12 Wroclaw, Poland Saa 2 Usiku Greece v Czech Republic Warsaw, Poland Poland v Russia -------------------------- Jumatano, Juni 13 Lviv, Ukraine Saa 2 Usiku Denmark v Portugal Kharkiv, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Holland v Germany ------------------------ Alhamisi, Juni 14 Poznan, Poland Saa 2 Usiku Italy v Croatia Gdansk, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Spain v Republic of Ireland ---------------------- Ijumaa, Juni 15 Kiev, Ukraine Saa 2 Usiku Sweden v England) Donetsk, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Ukraine v France ---------------------- Jumamosi, Juni 16 Wroclaw, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Czech Republic v Poland Warsaw, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Greece v Russia --------------------- Jumapili, Juni 17 Kharkiv, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Portugal v Holland Lviv, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Denmark v Germany --------------------- Jumatatu, Juni 18 Gdansk, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Croatia v Spain Poznan, Poland Saa 4 Dak 45 Usiku Italy v Republic of Ireland ------------------------- Jumanne, Juni 19 Donetsk, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku England v Ukraine Kiev, Ukraine Saa 4 Dak 45 Usiku Sweden v France ------------------------ ROBO FAINALI [Mechi zote Saa 4 Dak 45 Usiku] Alhamisi Juni 21 RF1: Warsaw, Poland: Mshindi A v Mshindi wa Pili B Ijumaa Juni 22 RF2: Gdansk, Poland: Mshindi B v Mshindi wa Pili A Jumamosi Juni 23 RF3: Donetsk, Ukraine: Mshindi C v Mshindi wa Pili D Jumapili Juni 24 RF4: Kiev, Ukraine: Mshindi D v Mshindi wa Pili C NUSU FAINALI Jumatano Juni 27 NF1: Donetsk, Ukraine: RF1 v RF3 Alhamisi Juni 28 NF2: Warsaw, Poland: RF2 v RF4 FAINALI Jumapili Julai 1 Kiev, Ukraine: NF1 v NF2
AFCON 2013-RATIBA & MATOKEO
Jumatano, 04 Januari 2012 16:38
CAF imetoa Ratiba ya Mechi za kutafuta Nchi 15 zitakazoingia Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazochezwa Mwaka 2013 huko Afrika Kusini na Tanzania imepangwa kucheza na Msumbiji kwenye Raundi ya Pili ya Mchujo. Raundi ya Pili ya Mchujo itatoa Timu 14 zitakazosonga Raundi ya Mwisho ambayo pia itajumuisha Nchi 16 zilizoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika za 2012 huko Equatorial Guinea na Gabon kuanzia Januari 21. Raundi ya Mwisho itajumuisha Timu 30 zitakazopangwa katika Mechi 15 zitakazochezwa nyumbani na ugenini na Washindi 15 watajumuika na Wenyeji Afrika Kusini kucheza Fainali. Kawaida Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika huchezwa kila baada ya Miaka miwili lakini CAF iliamua kuwa baada ya Fainali za 2012 Mashindano hayo yasiwe yanachezwa Mwaka mmoja na Fainali za Kombe la Dunia. Fainali zijazo za Kombe la Dunia ni Mwaka 2014 huko Brazil, 2018 huko Urusi na 2022 huko Qatar na CAF itakuwa ikifanya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika Mwaka 2013 huko Afrika Kusini na Fainali zitakazofuata zitakuwa 2015, 2017, 2019, 2021 na kadhalika. Jumla ya Nchi 46 zitashiriki kinyang’anyiro hicho ili kupata Nchi 15 kujumuika na Wenyeji Afrika Kusini kwenye Fainali. TAREHE ZA MECHI: -RAUNDI YA 1: 6-8 Januari 2012 na marudiano 20-22 Januari -RAUNDI YA 2: 29 Februari 2012 na marudiano 15-17 Juni 2012 -RAUNDI YA 3: 7-9 Septemba 2012 na marudiano 12-14 Oktoba 2012 RATIBA: Raundi ya Kwanza ya Mchujo: Seychelles v Swaziland [Swaziland walijitoa] Sao Tome 1 Lesotho 0 [Mechi Namba 2] Lesotho 0 Sao Tome 0 [Sao Tome wasonga] Raundi ya Pili ya Mchujo: [Mechi kuchezwa Tarehe 29 Februari na marudiano ni Juni 15] Ethiopia 0 Benin 0 Rwanda 0 Nigeria 0 Congo 3 Uganda 1 Burundi 2 Zimbabwe 1 Kenya 2 Togo 1 Sao Tome 0 Sierra Leone 0 Chad 3 Malawi 2 Seychelles 0 DR Congo 4 Tanzania 1 Mozambique 1 Central Africa v Egypt [IMEAHIRISHWA] Madagascar 0 Cape Verde 4 Liberia 1 Namibia 0 Gambia 1 Algeria 2 Guinea Bissau 0 Cameroon 1 [Marudiano Juni 15] LIGI KUU VODACOM
Alhamisi, 23 Juni 2011 23:59
LIGI KUU VODACOM
=====BINGWA==SIMBA==== MATOKEO: Jumapili Mei 6===MECHI ZA MWISHO za LIGI Simba 5 Yanga 0 Oljoro JKT 2 Polisi Dodoma 1 Ruvu Shooting 1 Villa Squad 2 Coastal Union 1 Toto African 0 African Lyon 2 JKT Ruvu 0 Azam 2 Kagera Sugar 1 Moro United 0 Mtibwa Sugar 1 ZIMESHUSHWA DARAJA: -Moro United -Villa Squad -Polisi Dodoma ZIMEPANDA DARAJA: -Mgambo Shooting Stars [Tanga] -Polisi Morogoro -Tanzania Prisons [Mbeya]
RATIBA & MATOKEO
Jumatano, 06 Oktoba 2010 23:26
RATIBA: Jumapili Mei 13===MECHI za MWISHO za LIGI [Saa 11 Jioni] Chelsea v Blackburn Everton v Newcastle Man City v QPR Norwich v Aston Villa Stoke v Bolton Sunderland v Man United Swansea v Liverpool Tottenham v Fulham West Brom v Arsenal Wigan v Wolves MSIMAMO: [Kila Timu imecheza Mechi 37, kwenye Mabano Tofauti ya Magoli] 1 Man City Pointi 86 [63] 2 Man United 86 [55] 3 Arsenal 67 [24] 4 Tottenham 66 [23] ------------------------------------- 5 Newcastle 65 [7] 6 Chelsea 61 [21] 7 Everton 53 [8] 8 Liverpool 52 [8] 9 Fulham 52 [-1] 10 WBA 47 [-6] 11 Sunderland 45 [0] 12 Swansea 44 [-8] 13 Norwich 44 [-16] 14 Stoke 44 [-17] 15 Wigan 40 [-21] 16 Aston Villa 38 [-14] 17 QPR 37 [-22] -------------------------------------------------------- 18 Bolton 35 [-31] 19 Blackburn 31 [-29] ==IMESHUSHWA DARAJA 20 Wolves 25==IMESHUSHWA DARAJA ===============
RATIBA & MATOKEO
Jumatano, 06 Oktoba 2010 19:40
|
|
Makala zaidi...
|
|
|