Ligi Kuu England

FA CUP: Arsenal yadundwa 2-0 nje!

Jumamosi, 18 Februari 2012 22:24
Chapisha Toleo la kuchapisha

WENGER-SITABWAGA_MANYANGAMATOKEO:

Jumamosi Februari 18

Chelsea 1 Birmingham 1 [Kurudiana huko St Andrew Stadium. Tarehe kupangwa]

Millwall 0 Bolton 2

Norwich 1 Leicester 2

Everton 2 Blackpool 0

Sunderland 2 Arsenal 0

TAARIFA:

Jumatano walinyukwa 4-0 na AC Milan na kuwekwa mguu mmoja nje ya UEFA CHAMPIONZ LIGI na leo wametandikwa 2-0 na Sunderland na kutupwa nje ya FA Cup na sasa inaelekea wazi ule ukame wa Miaka 7 wa kukosa Taji lolote utaendelea maana hata kwenye Ligi Kuu England wako nafasi ya 4 na Pointi 17 nyuma ya vinara.

Bao za Sunderland leo zilifungwa na Kieran Richardson, Mchezaji wa zamani wa Manchester United, dakika ya 40 na Oxlade-Chamberlain kwa kujifunga mwenyewe mpira uliogonga posti na kurudi katika dakika ya 77.

RATIBA:

Jumapili Februari 19

[Saa 9 Mchana]

Crawley v Stoke

[Saa 11 Jioni]

Stevenage v Tottenham

[Saa 1 na Nusu Usiku]

Liverpool v Brighton

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

Adidas Predator 300x250

TANGAZA HAPA

SOKAINBONGO_BANNER1