DIMBANI AFRIKA

LIGI KUU VODACOM: Ratiba yarekebishwa kupisha Stars

Ijumaa, 17 Februari 2012 17:12
Chapisha Toleo la kuchapisha

NESHNO_MAKALA_SPESHOShirikisho la Soka Tanzania, TFF, limefanya marekebisho kwenye Ratiba ya Ligi Kuu Vodacom ili kuzipisha mechi mbili za Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, watakazocheza Wiki ijayo.

Alhamisi Februari 23, Taifa Stars watacheza mechi ya kujipima nguvu na Congo DR Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na Jumatano Februari 29 kwenye Uwanja huo huo watacheza na Msumbiji mechi ya kwanza kuwania kutinga Fainali za AFCON 2013 zitazochezwa huko Afrika Kusini Mwaka 2012.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura, marekebisho ya Ratiba ya Ligi ni kutokana na makubaliano na Klabu za Ligi Kuu Vodacom kuwa pale ambapo Taifa Stars itakuwa na mechi, Ligi itasimama kupisha mechi husika.

Mechi ambazo zimebadilishwa ni zifuatazo pamoja na tarehe zake mpya:

Machi 3

JKT Ruvu v Toto African

JKT Oljoro v Kager Sugar

Machi 10

Yanga v Azam FC

Machi 7

African Lyon v Ruvu Shooting

JKT Oljoro v Toto African

Machi 11

Polisi Dodoma v Kagera Sugar

Moro United v JKT Ruvu

MSIMAMO:

TIMU

P

W

D

L

GF

GA

GD

PTS

1

Simba

17

11

4

2

27

10

17

37

2

Yanga

17

11

4

2

29

13

16

37

3

Azam

18

10

5

3

22

9

13

32

4

JKT Oljoro

17

7

5

6

10

12

-2

26

5

Mtibwa Sugar

17

7

4

6

20

17

3

25

6

JKT Ruvu

17

5

7

5

17

19

-2

22

7

Kagera Sugar

18

4

9

5

19

19

0

21

8

Coastal Union

18

7

2

9

17

20

-3

23

9

Ruvu Shooting

19

4

10

5

16

17

-1

22

10

African Lyon

16

4

5

7

15

20

-5

17

11

Moro United

18

3

8

7

22

29

-7

17

12

Villa Squad

18

4

4

10

18

35

-17

16

13

Toto African

16

2

8

6

14

20

-6

14

14

Polisi Dodoma

17

2

7

8

16

23

-7

13

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

TANGAZA HAPA

All Originals 728x90