DIMBANI AFRIKA

AFCON 2012: Mensah wa Ghana kifungo Mechi 2

Jumatano, 25 Januari 2012 12:14
Chapisha Toleo la kuchapisha

AFCON_SIB_LOGO12RATIBA/MATOKEO:

Januari 24

KUNDI D

Ghana 1 Botswana 0

Mali 1 Guinea 0

Januari 25

KUNDI A

Libya v Zambia [Saa 1 Usiku]

Equatorial Guinea v Senegal [Saa 4 Usiku]

TAARIFA:

Nahodha na Sentahafu wa Ghana John Mensah atazikosa mechi zilizobaki za Nchi yake za Kundi D kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2012, dhidi ya Mali na Guinea.JOHN_MENSAH

Mensah alitolewa kwa Kadi Nyekundu hapo jana katika dakika ya 66 kwenye mechi na Botswana ambayo Ghana walishinda bao 1-0 baada ya kumchezea rafu Fowadi wa Botswana Jerome Ramatlhakwane aliekuwa akichanja mbuga kwenda kumuona Kipa wa Ghana na Refa, akiamua Mensah alikuwa Mtu wa mwisho, hakusita kutoa Kadi hiyo.

Kwa mujibu wa kanuni za CAF, Mensah atazikosa mechi mbili lakini pengo lake linaweza kuzibwa na kina John Boye, Jonathan Mensah na Lee Addy.

Hii ni mara ya pili kwa John Mensah kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu kwenye AFCON kwani Mwaka 2008 alitolewa walipocheza na Nigeria lakini Ghana walishinda mechi hiyo kwa bao 2-1 na kutinga Nusu Fainali.

Ingawa Ghana haijathibitisha kama itakata Rufaa kupinga Kadi hiyo, mwenyewe Mensah amesema: ‘Sina tatizo na Kadi Nyekundu. Refa ametoa uamuzi wake na huo ndio mpira.’

RATIBA & MATOKEO

[Saa za Bongo]

Januari 21

KUNDI A

Equatorial Guinea 1 Libya 0

Senegal 1 Zambia 2

Januari 22

KUNDI B

Ivory Coast 1 Sudan 0

Burkina Faso 1 Angola 2

Januari 23

KUNDI C

Gabon 2 Niger 0

Morocco 1 Tunisia 2

Januari 24

KUNDI D

Ghana 1 Botswana 0

Mali 1 Guinea 0

Januari 25

KUNDI A

Libya v Zambia [Saa 1 Usiku]

Equatorial Guinea v Senegal [Saa 4 Usiku]

Januari 26

KUNDI B

Sudan v Angola [Saa 1 Usiku]

Ivory Coast v Burkina Faso [Saa 4 Usiku]

Januari 27

KUNDI C

Niger v Tunisia [Saa 1 Usiku]

Gabon v Morocco [Saa 4 Usiku]

Januari 28

KUNDI D

Botswana v Guinea [Saa 1 Usiku]

Ghana v Mali

Januari 29

KUNDI A

Equatorial Guinea v Zambia [Saa 3 Usiku]

Libya v Senegal [Saa 3 Usiku]

Januari 30

KUNDI B

Sudan v Burkina Faso [Saa 3 Usiku]

Ivory Coast v Angola [Saa 3 Usiku]

Januari 31

KUNDI C

Gabon v Tunisia [Saa 3 Usiku]

Niger v Morocco [Saa 3 Usiku]

Februari 1

KUNDI D

Botswana v Mali [Saa 3 Usiku]

Ghana v Guinea [Saa 3 Usiku]

ROBO FAINALI

Februari 4

Mshindi wa Kwanza Kundi A v Mshindi wa Pili Kundi B==Mechi Namba 25

Mshindi wa Kwanza Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A==Mechi Namba 26

Februari 5

Mshindi wa Kwanza Kundi C v Mshindi wa Pili Kundi D==Mechi Namba 27

Mshindi wa Kwanza Kundi D v Mshindi wa Pili Kundi C==Mechi Namba 28

NUSU FAINALI

Februari 8

Mshindi Mechi Namba 25 v Mshindi Mechi Namba 28

Mshindi Mechi Namba 27 v Mshindi Mechi Namba 26

MSHINDI WA 3

Februari 11-Jijini Malabo, Equatorial Guinea

FAINALI

Februari 12-Jijini Libreville, Gab

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

MATANGAZO

TANGAZA_BURE2
SOKAINBONGO_BANNER1