Bongo Nyuzi

Yanga yashinda lakini ipo pale pale!

Jumapili, 12 Februari 2012 22:25
Chapisha Toleo la kuchapisha

YANGA_JUUUMSIMAMO Timu za juu:

[Kila Timu imecheza Mechi 17]

1 Simba Pointi 37 [Bao za kufunga 27, kufungwa 10, tofauti ya Magoli 17]

2 Yanga Pointi 37 [Bao za kufunga 29, kufungwa 13, tofauti ya Magoli 16]

3 Azam Pointi 32

3 JKT Oljoro Pointi 26

5 Mtibwa Sugar Pointi 22

Taarifa:

Bao la Davies Mwape la dakika ya 48 limewapa Yanga ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuwafikia Simba kileleni huku Timu zote zikiwa na pointi 37 lakini Simba wako mbele kwa kuwa na tofauti ya magoli bora.

Yanga wangeweza kushinda kwa bao nyingi mechi hii lakini walipoteza nafasi na mojawapo kubwa ni pale Hamisi Kiiza kushindwa kufunga penati katika dakika ya 29 ambayo iliokolewa na Kipa Haule.

Mechi hii ilijaa shamrashamra kwa Klabu ya Yanga kwa vile pia walikuwa wakisherehekea Miaka 77 ya kuzaliwa Klabu yao.

RATIBA/MATOKEO:

Jumapili Februari 12

Kagera Sugar v Mtibwa Sugar

Yanga 1 Ruvu Shooting 0

Jumapili Februari 13

Kagera Sugar v Mtibwa Sugar

Jumanne Februari 14

Polisi Dodoma v Simba

Yanga v African Lyon

Jumatano Februari 15

Toto Africans v Mtibwa Sugar

Kutoa maoni

Tafadhali toa maoni sahihi kwa kutumia lugha ya heshima.


Security code
Onyesha tena

Ingia

Jiandikishe / Ingia

adidas

All Originals 300x250

MATANGAZO

Adidas Predator 300x250

TANGAZA HAPA

All Originals 728x90